logo
Share icon
Lyrics
Penzi la vituko na vita kila siku siliwezi bana
naogopa
MI Sina speed ya mapenzi na sio mtu WA kushoboka
Nataka penzi lilo lainika yani penzi lilonyooka
nikipenda na penda kweli na siezangi kuponyoka

Nishazoea mabusu yakunipoza
Chumbani mautundu nikuchokozwa
Mechi vurugu yakishanoga
Ndo maabaa nayotaka mi
Nishazoea mabusu yakunipoza
Chumbani mautundu nikuchokozwa
Mechi vurugu yakishanoga
Ndo maabaa nayotaka mi


Penzi nikilipata jipya
Naiwe Naiwe ya maana Naiwe
Ya siwe ya kasoro
Naiwe Naiwe ya maana naiwe
Nipate amani ya moyo
Nana naiwe, Naiwe naiwe ya maana naiwe


Tukila good time, Je uko sure, utatulia baba
Na zile bad time, isijekuwa, tanizimia rada,


Maana mapenzi ujana, jana, mimi naogopa sana
Ata tukigombana, mbana, tusije kuchukiana


Nishazoea mabusu yakunipoza
Chumbani mautundu nikuchokozwa
Mechi vurugu yakishanoga
Ndo maabaa nayotaka mi
Nishazoea mabusu yakunipoza
Chumbani mautundu nikuchokozwa
Mechi vurugu yakishanoga
Ndo maabaa nayotaka mi


Penzi nikilipata jipya
Naiwe Naiwe ya maana Naiwe
Ya siwe ya kasoro
Naiwe Naiwe Naiwe ya maana naiwe
Nipate amani ya moyo
Naiwe, Naiwe ya maana naiwe
Nana Naiwe, Naiwe Naiwe ya maana naiwe

WRITERS

NATASHA JESSEE

PUBLISHERS

Lyrics © Songtrust Ave

Share icon and text

Share


See A Problem With Something?

Lyrics

Other